Home >  Term: kuthibitisha
kuthibitisha

Mamlaka yaliyopewa kwa Seneti kukubali au kukataa majina ya walioyeuliwa na rais kuhudumu kwenye serikali au mahakama. Seneti huhitaji wingi wa kura kumwidhinisha au kumkataa aliyeteuliwa kwa mujibu wa Kipengele cha II, Sehemu ya 2, Ibara ya 2 ya Katiba. Seneti imeweza kukataa kuidhinisha watu tisa walioteuliwa kuwa Mawaziri ingawa wengi wameweza kuondolewa majina yao kwa kuhofia kukataliwa na Seneti.

0 0

Creator

  • Jonah Ondieki
  • (Nairobi, Kenya)

  •  (Bronze) 283 points
  • 100% positive feedback
© 2025 CSOFT International, Ltd.