Home > Term: mgombeaji
mgombeaji
Mtu ambaye anatangaza nia yake ya kutaka kuchaguliwa kwenye cheo fulani kama vile Rais, Seneta, Gavana ama Meya. Wagombeaji hutumia kampeni kuwajuza wanaomuunga mkono kwamba wanawania cheo na kuwarai watu kuwapigia kura.
- Part of Speech: noun
- Industry/Domain: Government
- Category: Government & politics
- Organization: The College Board
0
Creator
- Jonah Ondieki
- 100% positive feedback
(Nairobi, Kenya)